Thursday, June 26, 2014

Meneja wa washiriki wa Tanzania Movie Talents (TMT), Happiness Ntaga kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited akiwatambulisha washiriki (hawapo pichani) kwa wafanyakazi wa Global Publishers.

Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kutoka kanda mbalimbali Tanzania bara wakiwasili ofisi ya Global Publishers.
Mshiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents, Janeth Emmanuel Kahabi kutoka kanda ya ziwa.
Mwanaafa Mwizago ni kutoka kanda ya kusini.
Moses Obunde kutoka kanda ya kati.
Aneth Peter kutoka nyanda za juu kusini.
Huyu ni Pendo Edward.
Joyce Kalinga kutoka kanda ya kati.
Mtawa Kapalala nyanda za juu kusini.
Tishi Abdalah kutoka kanda ya Pwani akijitambulisha kwa wafanyakazi wa Global.
Washiriki wa Tanzania Movie Talents wakisikiliza jambo.
Crensensiah Herman.
Washiriki wa TMT wakiwa katika picha ya pamoja.
Wakitembea kuangalia shuguli za uzalishaji wa magazeti.
...Wakiondoka.
Meneja wa washiriki wa Tanzania Movie Talents (TMT), Happiness Ntaga (kushoto) akiongea na Mwanaafa Mwizago kutoka kanda ya kusini.
WASHIRIKI 20 wa kanda kutoka Tanzania Movie Talents (TMT) wametembelea Global Publishers wakitokea hotel ya Spice walikofikia.Mshindi atapatikana tarehe 31 mwezi wa nane kwa kupigiwa kura na Watanzania.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe