MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela miaka saba wandishi
watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa
wamezuiliwa miezi sita nchini humo.
Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood.
Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia aliyewahi kuwa mwandishi wa habari wa BBC.
Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood.
Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia aliyewahi kuwa mwandishi wa habari wa BBC.
0 comments:
Post a Comment