Monday, June 23, 2014

Wachezaji wa Uholanzi wakiwashukuru mashabiki baada ya mechi.

Leroy Fer (wa tatu kulia) akiifungia Uholanzi bao la kwanza.
Memphis Depay akiwafungia Uholanzi bao la ushindi.
Mashabiki wa Uholanzi baada ya ushindi wa bao 2-0.
KIKOSI CHA Louis van Gaal kimetinga hatua ya 16 Bora katika michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Brazil baada ya ushindi wa leo usiku  wa mabao 2-0 dhidi ya Chile.
Wafungaji wa mabao ya Uholanzi ni Leroy Fer na Memphis Depay.
Kwa matokeo ya leo, Uholanzi wameingia hatua hiyo baada ya kuongoza kundi B wakiwa na pointi 9 baada ta kushinda mechi zote tatu huku Chile wakiwa nafasi ya pili katika kundi hilo.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe