Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangara na Waziri
wa Biashara wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao
wakitia saini Mikataba ya Muendelezo wa awamu ya Tatu ya Ujenzi wa
Uwanja wa Taifa pamoja na Makabidhiano ya gari la kurushia matangazo (OB
VAN) leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangara na Waziri
wa Biashara wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao
wakibadilishana Hati ya Makubaliano wakati wa hafla ya utiaji saini wa
Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri ya watu wa China na Tanzania leo
Ikulu Jijini Dar es Salaam. Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangara
wakifurahia jambo na Waziri wa Viwanda na Biashara Abdalah Kigoda
wakati wa hafla ya utiaji saini wa Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri
ya watu wa China na Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. Makamu
wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akimkaribisha Makamu wa
Rais wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao wakati wa hafla
ya utiaji saini wa Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri ya watu wa
China na Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Dorothy Mwanyika na Waziri wa Biashara
wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao wakitia saini
Mkataba wa kusaidia Mafunzo ya Riadha Nchini wakati wa hafla ya utiaji
saini wa Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri ya watu wa China na
Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Dorothy Mwanyika na Waziri wa Biashara
wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao wakibadilishana
Hati ya Makubaliano wakati wa hafla ya utiaji saini wa Mikataba kati ya
Serikali ya Jamhuri ya watu wa China na Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es
Salaam. Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimueleza jambo
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao mara
baada ya hafla ya utiaji saini wa Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri
ya watu wa China na Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es Salaam. Makamu
wa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Li Yuanchao akimueleza
jambo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara
baada ya hafla ya utiaji saini wa Mikataba kati ya Serikali ya Jamhuri
ya watu wa China na Tanzania leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof.
Elisante Ole Gabriel akiteta jamabo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari
(MAELEZO) Bw. Assah Mwambene wakati wa hafla ya utiaji saini wa Mikataba
kati ya Serikali ya Jamhuri ya watu wa China na Tanzania leo Ikulu
Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment