Sunday, May 11, 2014

Q-CHIEF AKILI KURIBIWA NA MADAWA…

q chief q chief.jpeg222

Muimbaji Abubakar Katwila aka Q Chief amekiri kuwa alikuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya kwa kipindi cha miaka miwili na hivyo kumharibia maisha yake. Hata hivyo amesema amefanikiwa kuacha kutumia miezi saba iliyopita baada ya kutumia muda mwingi kufanya ibada. Akiongea kwa uchungu katika mahojiano exclusive na kipindi cha XXL cha Clouds FM, Chilla amesema hakuweza kusema wazi jambo hilo kwakuwa aliogopa kuwaumiza watu zaidi. “Nilifikiria kwanza kabla ya kuconfess kwamba hata nikiconfess I know there are a lot of people who care about Q Chief na wasingependa kumuona yuko hapa katika hali hii lakini pengine ukawaamiza zaidi

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe