Sunday, May 11, 2014

MI SIKUMBAKA NANCY ILA ALIMKUBALI MWENYE…

BAKWA2

SIKU chache baada ya kuibuka kwa skendo ya ubakaji inayomkabili prodyuza maarufu wa filamu Bongo ambaye pia ni Msemaji wa Kampuni ya Steps Entertainment, Seles Mapunda ameibuka na kufungukia ishu hiyo. Akizungumzia ishu hiyo  hivi karibuni Mapunda kwanza alisema kuwa hakumbaka Nancy Njozy aliyefungua kesi katika kituo cha polisi cha Oysterbay bali msichana huyo anatafuta umaarufu ambao amekuwa akiusaka kwa muda mrefu. “Sikumbaka Nancy na wala haiwezi kuwa hivyo, nadhani anatafuta

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe