Wote tunafahamu kuwa Martin Kadinda ni
meneja wa Wema Sepetu na wamekuwa na ukaribu kwa kipindi kirefu. Lakini
hizi picha alizozipost Martin kupitia Instagram hivi karibuni akiwa na
Wema huko Afrika Kusini zimeanza kuleta minong’ono.Je, ni wapenzi au
marafiki tu??ukiziangalia hizi picha namaeezo yakeutagundua kitu….!!!
Katika picha hiyo juu Martin aliiandikia, “I Heart em moments… She is
spoiling me in a way I can’t say thank you and be enough.” Katika picha
hii Martin ameandika: Sisi ni washwiiiity………. She always say that…. Hapa
ameandika: #InstaTrueLove…. I loove this Gurl…. She is so pure and Rily
0 comments:
Post a Comment