Wednesday, May 21, 2014

Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala (kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyirembe Munasa wakati wa hafla fupi ya uzinduzi  wa duka la huduma kwa wateja jijini Arusha.Katikati ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa airtel Tanzania, Adriana Lyamba(wa pili kushoto) na Maneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA, Inginia Annette Matindi.


Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyrembe Munasa akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja la Airtel jijini Arusha .Kutoka kushoto ni Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala, Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa airtel Tanzania, Adriana Lyamba na Maneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA, Inginia Annette Matindi.
Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyrembe Munasa akikata utepe kuashiria uzinduzi  wa duka la huduma kwa wateja la airtel jijini Arusha .Kushoto ni Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala.Hafla ya uzinduzi ilifanyika jijini Arusha leo.
Meneja Biashara wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel, Brighton Majwala ( wa pili kushoto) akizungumza jambo na Mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Alumeru, Nyirembe Munasa(kushoto), Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa airtel Tanzania, Adriana Lyamba(kulia) na Maneja wa Kanda ya Kaskazini wa TCRA, Inginia Annette Matindi wakati wa hafla fupi ya uzinduzi  wa duka la huduma kwa wateja jijini Arusha leo.
Wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania,tawi la jijini Arusha wakiwa katika picha ya pamoja mara bada ya uzinduzi wa duka la huduma kwa wateja leo.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe