Barkley atishiwa maisha, kisa demu
Walker, 30, alimtumia ujumbe kwenye Twitter kiungo
Barkley akimpiga marufuku kabisa kujisogeza kwa mrembo ambaye hakumtaja
na kusema maisha yake ya soka yatakatika ghafla.
Ripoti zinabainisha kwamba mpenzi wa zamani wa
Barkley kwa sasa ana uhusiano wa kimapenzi na Walker na wasiwasi wa
jambazi huyo ni kitendo cha kiungo huyo kutumiana meseji na mrembo huyo.
Kwa mujibu wa Gazeti la Mirror, Barkley na Walker
hivi karibuni walikutana kwenye ukumbi mmoja wa starehe za usiku huko
Liverpool na kujadiliana. Ukumbi huo upo katika eneo ambalo mke wa Peter
Crouch mrembo, Abbey Clancey na wa Steven Gerrard, Alex, wanapenda sana
kwenda.
Maofisa polisi kutoka Merseyside walithibisha
kuzungumza na Barkley baada ya kupokea simu kutoka kwa mtu mwingine
aliyetoa malalamiko kwamba mchezaji huyo ametishiwa maisha.
0 comments:
Post a Comment