Wednesday, August 26, 2015

Liewig

Patrci Liewig na Stand United: Wengi wanajiuliza maswali kuhusiana na ujio wa Mfaransa huyo ambaye ni mara ya pili kufundisha Tanzania akianza msimu wa 2012/13 akifundisha Simba na sasa Stand United ambayo ni timu change inayoshiriki ligi ya Vodacom msimu wa pili na msimu uliopita ilinusurika kushuka baada yakumaliza nafasi ya 10 na kuambulia point 31 baada ya kucheza mechi 26

 

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe