ALIYEKUWA
mchumba wa msanii wa filamu Bongo, marehemu Sheila Haule ‘Recho’,
George Saguda amesema baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa
Ramadhan, sasa anajiandaa kwa ajili ya kisomo cha kumkumbuka mwenzake
huyo.“Baada ya Ramadhani kumalizika nitafanya kisomo kwa ajili yake na mwanangu ili Mungu awapunguzie adhabu ya kaburi, pia kwa walioenda kuweka tunguri kwenye kaburi lake, kama walikuwa na nia mbaya Mungu aepushe maana nikisema niende kwa waganga nitakuwa napoteza muda tu kikubwa namtegemea Mungu,” alisema Saguda.
RSS Feed
Twitter
12:37 PM
Unknown
Posted in
0 comments:
Post a Comment