Semi-Trela
likiwa limebeba kontena likiwa limeanguka baada ya kulielemea kwa
uzito na kulivunja daraja la chuma katika barabara ya Banana-Kinyerezi
maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam jana jioni. Haikuweza kufahamika
mara moja lilikuwa limebeba mzigo gani na kama dereva alikuwa anajua
daraja hilo ni kwa magari yenye uzito wa wastani wa tani 7 tu au ni
kiburi tu. Hakika Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli na jeshi
lake wana kazi ya ziada kuhakikisha uzembe kama huu hautokei na
haujirudii.
0 comments:
Post a Comment