Thursday, May 8, 2014

SILAA AKABIDHIWA JENGO LA MATIBABU MOGOLANDEGE, UKONGA DAR

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akikata utepe kufungua jingo lililojengwa na Dk. Abdallah Mandai (kushoto) kwa ajili ya kutolea huduma za wagonjwa wa kifua kikuu katika zahanati ya Mogolandege, Ukonga Dar hivi karibuni.

...Dk Mandai akipongezwa na baadhi ya viongozi wa serikali baada ya kukabidhi jingo kwa Meya Silaa.
Dk Mandai akizungumza na wana habari baada ya kukabidhi jingo.
Meya Silaa akiangalia kitu kwenye jingo hilo.
Hivi karibuni Dk. Abdallah Mandai wa Mandai Clinic alimkabidhi Meya wa Manispaa ya Ilala, jengo kwa ajili ya wagonjwa wa kifua kikuu katika Kata ya Mogolandege, Ukonga jijini  Dar ambalo alilijenga kama mchango wake kwa jamii. Daktari huyo huandika makala za afya katika gazeti la Ijumaa Wikienda

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe