SILAA AKABIDHIWA JENGO LA MATIBABU MOGOLANDEGE, UKONGA DAR
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akikata utepe
kufungua jingo lililojengwa na Dk. Abdallah Mandai (kushoto) kwa ajili
ya kutolea huduma za wagonjwa wa kifua kikuu katika zahanati ya
Mogolandege, Ukonga Dar hivi karibuni.
...Dk Mandai akipongezwa na baadhi ya viongozi wa serikali baada ya kukabidhi jingo kwa Meya Silaa.
Dk Mandai akizungumza na wana habari baada ya kukabidhi jingo.
Meya Silaa akiangalia kitu kwenye jingo hilo.
Hivi karibuni Dk. Abdallah Mandai wa Mandai Clinic alimkabidhi Meya
wa Manispaa ya Ilala, jengo kwa ajili ya wagonjwa wa kifua kikuu katika
Kata ya Mogolandege, Ukonga jijini Dar ambalo alilijenga kama mchango
wake kwa jamii. Daktari huyo huandika makala za afya katika gazeti la
Ijumaa Wikienda
0 comments:
Post a Comment