Staa wa wimbo wa Number One, Nasibu Abdul 'Diamond', jana alikuwa ndani ya Ukumbi wa Billicanas kuzungumzia juu ya hatua kubwa aliyopiga hadi kuwepo katika Tuzo za MTV ambazo zinatarajiwa kufanyika hapo baadae mwaka huu.
Diamond na wasanii wengine kama Sauti Soul kutoka Kenya walikuwepo ndani ya ukumbi huo ambapo mbali na kuzungumzia furaha ya kuteuliwa, baadaye wasanii mbalimbali ambao wameteuliwa katika kinyanganyiro hicho walitumbuiza mmoja baada ya mwingine.
diamond noma
ReplyDelete