Thursday, May 29, 2014


STAA wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ leo anatarajiwa kufanyiwa shughuli ya kumbukumbu ya kifo chake. Habari kutoka ndani ya familia ya Ngwea zinasema kuwa, shughuli hiyo itafanyika leo Mei 28, nyumbani kwao Morogoro ikiwa ni mwaka mmoja timilifu tangu afariki dunia.

Staa wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe