Wednesday, May 21, 2014

Mdogo wa Kim Kardashian, Khloe kardashian akiwasili jijini Paris, Ufaransa.
Brandon Jenner akiwa na mkewe Leah na kulia Bruce Jenner wakiwasili Uwanja wa Ndege wa LAX.
Kutoka kushoto baba wa kufikia wa Kim, Bruce Jenner, Brandon Jenner na mke wa Brandon, Leah.
PARIS, Ufaransa
NDUGU mbalimbali wakiongozwa na baba wa kufikia wa mtangazaji maarufu, Kim Kardashian, Bruce Jenner wamewasili katika uwanja wa ndege wa LAX.
Miongoni mwa ndugu hao waliowasili ni pamoja na Brandon Jenner na mpenziwe Leah, Kendell Jenner na Khloe kardashian.
Sherehe za maandalizi ya harusi zitafanyika siku ya Ijumaa katika ukumbi wa Chateau De Wideville, Ufaransa, na Jumamosi ya tarehe 24, asubuhi wageni wote ‘watakwea pipa’ mpaka Florence, Italia,  ambapo mipango kamili ya kufunga ndoa itafanyika katika jengo maarufu la Forte Belvedere.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe