Mlela afurahi kuwa na mtoto

Mwigizaji nyota anayetamba na filamu yake mpya ya Nesi Selena, Yusuf Mlela
Msanii huyo anasema kuwa awali baada ya kufungua
kampuni yake kwa ajili ya utengenezaji wa filamu, alifurahi kupata
furaha nyingine ya kuwa na mtoto kitu ambacho kwake ni hatua kubwa ya
kusonga mbele katika kujijengea familia.
Anasema maisha yake yamebadilika kwa kuwa karibu na mwanaye huyo, Mwantumu.
“Siku hizi hata ratiba zangu zinakuwa tofauti
kwani lazima nipange muda pia kwa ajili ya baby, ni jambo ambalo
linanifurahisha kuwa na mtoto. Ninapenda kujenga mapenzi mema na mtoto,
hasa kuwa karibu na Mwantumu,” alisema.
Msanii huyo anasema kuwa awali baada ya kufungua
kampuni yake kwa ajili ya utengenezaji wa filamu, alifurahi kupata
furaha nyingine ya kuwa na mtoto kitu ambacho kwake ni hatua kubwa ya
kusonga mbele katika kujijengea familia.
0 comments:
Post a Comment