KIUNGO mshambuliaji raia wa Brazil, Andrey
Coutinho leo ametua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
(JNIA) jijini Dar es Salaam tayari kwa kukipiga kwenye timu ya Yanga ya
Dar es Salaam. Mchezaji huyo alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Yanga
akiwemo msemaji wa timu hiyo, Baraka Kizuguto.
Friday, June 27, 2014
12:24 PM
Unknown
Posted in michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter
0 comments:
Post a Comment