
Mtangazaji ambaye pia ni mjasiriamali, Maimartha Jesse amesema
anafurahia ujio wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwani kazi yake itakuwa ni
kutulia na kujipodoa tu.Akipiga stori na Ijumaa Mai alisema mwezi huo
huwa mishemishe zake zikiwemo za u-MC anaziweka kando na kwamba atatumia
muda mwingi kutengeneza mwili wake.
Mtangazaji ambaye pia ni mjasiriamali, Maimartha Jesse
“Yaani mkorogo utanikomaje, nakuambia hadi Mwezi wa Ramadhani unaisha
nadhani nitakuwa kama mwarabu, sitakuwa na la kufanya, nitakuwa ni mtu
wa kujipodoa tu,” alisema Mai.
0 comments:
Post a Comment