Friday, June 27, 2014

Menina Atick 'Menina La Diva' akiachia bonge la tabasamu ndani ya studio za Global TV Online.

Menina akipozi na mwandishi wa gazeti la Championi, Saphyna Mlawa (kushoto).
Menina katika pozi ndani ya Global TV Online.
...Menina katika pozi na Presenta wa Global TV Online, Pamela Daffa 'The Mic Queen'.
MSANII wa Bongo Fleva, Menina Atick 'Menina La Diva' leo ametembelea studio za Global TV Online na kufanya mahojiano.
Staa huyo aliyeibukia kwenye Shindano la Epiq Bongo Star Search 2012, amefunguka kuhusu mengi ikiwemo maisha yake, muziki na changamoto anazozipata katika muziki.
Kujua zaidi kuhusu msanii huyo, usikose kuangalia Global TV Online na kusoma magazeti ya Global Publishers Ltd.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe