KWA mara ya kwanza kitongoji cha Mbagala kimejipatia mshindi katika mashindano ya kumsaka mrembo atakayewakilisha Mbagala katika mashindano ya Miss Temeke 2014. Taji hilo lilikwenda kwa mrembo Amina Salim.
Sunday, June 8, 2014


KWA mara ya kwanza kitongoji cha Mbagala kimejipatia mshindi katika mashindano ya kumsaka mrembo atakayewakilisha Mbagala katika mashindano ya Miss Temeke 2014. Taji hilo lilikwenda kwa mrembo Amina Salim.

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment