IDADI kiduchu ya wasanii waliohudhuria 40 ya nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Maalim Muhidin Gurumo leo imeonyesha dhahiri kuwa wasanii wengi wameingia mitini. Arobaini hiyo imefanyika leo mchana nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es Salaam.
Sunday, May 25, 2014


IDADI kiduchu ya wasanii waliohudhuria 40 ya nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Maalim Muhidin Gurumo leo imeonyesha dhahiri kuwa wasanii wengi wameingia mitini. Arobaini hiyo imefanyika leo mchana nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es Salaam.

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment