IDADI kiduchu ya wasanii waliohudhuria 40 ya nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Maalim Muhidin Gurumo leo imeonyesha dhahiri kuwa wasanii wengi wameingia mitini. Arobaini hiyo imefanyika leo mchana nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es Salaam.
Sunday, May 25, 2014
3:55 PM
Unknown
IDADI kiduchu ya wasanii waliohudhuria 40 ya nguli wa muziki wa dansi nchini, marehemu Maalim Muhidin Gurumo leo imeonyesha dhahiri kuwa wasanii wengi wameingia mitini. Arobaini hiyo imefanyika leo mchana nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini Dar es Salaam.
Posted in burudani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter
0 comments:
Post a Comment