Wednesday, May 28, 2014

Kim Kardashian na Kanye West wapigana busu baada ya kufunga ndoa Jumamosi iliyopita, Forte di Belvedere Florence, Italia.

...Mke na mume ambao ni Kim Kardashian na Kanye West wakiwa wameshikana mikono baada ya kufunga ndoa.
Kim akiwa ndani ya gauni lake la harusi siku ya ndoa yake huko Forte di Belvedere Florence, Italia.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe