Thursday, May 29, 2014

Majeneza yenye miili ya Recho na mwanaye.Miili ya Rachel Haule 'Recho' na mwanaye ikishushwa kwenye gari maalum baada ya kuwasili Viwanja vya Leaders ikitokea nyumbani Palestina, Dar tayari kwa kuagwa.Waombolezaji wakiwa na simanzi baada ya mwili kuwasili Leaders.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe