BODI ya wakurugenzi wa timu ya FC Barcelona
imethibitisha kuwa Mhispania Luis Enrique Martínez García ndiye kocha
mpya wa timu hiyo.
Enrique mwenye umri wa miaka 44 aliyewahi kuichezea klabu hiyo akitokea kwa mahasimu wao Real Madrid mwaka 1996, atasaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini Barcelona.
Enrique mwenye umri wa miaka 44 aliyewahi kuichezea klabu hiyo akitokea kwa mahasimu wao Real Madrid mwaka 1996, atasaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo yenye maskani yake jijini Barcelona.
RSS Feed
Twitter
4:03 PM
Unknown

Posted in
0 comments:
Post a Comment