Wednesday, May 7, 2014

kuhusu familia ya JK kuhamia dodoma

mama salma mwenyew nikimuangalia kwenye ile picha kama vile anasema ngoja tu watakoma,mwakani niko ndani ya mjengo

Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete na familia wakiwa Bungeni Mjini Dodoma leo Mei 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete alipoapishwa . Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma , Dkt. Rehema Nchimbi.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe