Sunday, May 25, 2014

Maziko ya mwimbaji Amina Ngaluma yaliyofanyika jana Machimbo, Mnarani jijini Dar.

Amina enzi za uhai wake.
Mwili wa mwimbaji Amina Ngaluma ukiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ukitokea nchini Thailand.
Mwanamuziki Mwijuma Muumini (katikati) akimfariji mume wa marehemu Amina, Rashid Sumuni (kushoto).
IKIWA ni siku moja tangu mwili wa mwimbaji Amina Ngaluma kuzikwa huko Machimbo, Mnarani jijini Dar, maswali mengi yameibuka kuhusu mazingira ya kifo chake. Inadaiwa marehemu alifariki kutokana na maumivu makali ya kichwa huku akiwa na uvimbe kichwani japo ndugu wa marehemu na mumewe wakidai kuwa Amina hakuwahi kuwaambia kuwa anasumbuliwa na matatizo hayo!

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe