Sunday, May 11, 2014

Hamida Hassan na Imelda Mtema
Mastaa wa filamu wa Bongo Movies juzi walifurika kwenye 'kibao kata'ambayo ni  shughuli ya kumuaga msanii mwenzao, Vanita Omary kilichofanyika kwenye Ukumbi wa PG Hall (zamani Asset Club) jijini Dar.
Katika shughuli hiyo mastaa walionekana kucharuka kwa kucheza huku wengine wakiwa wamelewa chakari tofauti na muonekano wao wawapo mitaani.
Wolper aliongoza wasanii wenzake kwenye kukata mauno na kuchangamsha shughuli nzima ambayo ilifikia tamati saa sita usiku.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe