Thursday, May 8, 2014

HUYU NDIYE 'SECOND BORN' WA MSANII KEISHA

STAA wa Bongo Fleva, Khadija Shaban ‘Keisha’ amejifungua mtoto wa kiume Jumatatu ya Mei 5 mwaka huu katika hospitali ya Mount Mkombozi iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam. GPL inamtakia heri Keisha pamoja na mwanaye!

Keisha akipozi na mwanaye pamoja na watu waliofika kumlaki.

0 comments:

Post a Comment

Designed by Adamu Mwanakatwe