Cristiano
Ronaldo (kushoto) akishangilia bao lake la penalti dhidi ya Atletico
Madrid. Kulia ni Mario Balotelli alipofunga bao katika nusu fainali ya
Euro 2012 kati ya Italia na Ujerumani.Ronaldo baada ya kufunga bao hilo kwa penalti, alishangilia kwa kuvua jezi na kisha kutunisha misuli kama alivyofanya Balotelli alipofunga bao katika nusu fainali ya Euro 2012 kati ya timu yake ya Taifa Italia na Ujerumani.
Baada ya tukio hilo, Ronaldo alionyeshwa kadi ya njano japo hakuonekana kujali. Kwenye fainali hiyo, Real Madrid walishinda kwa bao 4-1 na kutwaa kombe.
RSS Feed
Twitter
3:45 PM
Unknown

Posted in
0 comments:
Post a Comment