BENDI ya Extra Bongo 'Wazee wa Kizigo' chini ya Kamarade Ally Choki 'Mzee wa Farasi' usiku wa kuamkia leo ilifanya makamuzi ya aina yake ndani ya Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar es Salaam. Katika onesho hilo wanenguaji wake wakiongozwa na Super Nyamwela waliweza kuwainua mashabiki kwa furaha baada ya kuwaonesha mavituz ya nguvu.
Sunday, May 25, 2014
3:35 PM
Unknown
BENDI ya Extra Bongo 'Wazee wa Kizigo' chini ya Kamarade Ally Choki 'Mzee wa Farasi' usiku wa kuamkia leo ilifanya makamuzi ya aina yake ndani ya Ukumbi wa Meeda uliopo Sinza jijini Dar es Salaam. Katika onesho hilo wanenguaji wake wakiongozwa na Super Nyamwela waliweza kuwainua mashabiki kwa furaha baada ya kuwaonesha mavituz ya nguvu.
Posted in burudani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RSS Feed
Twitter



0 comments:
Post a Comment