Kikao
cha kamati ya utendaji TFF kilichokaa leo kimesimamisha utekelezaji wa
mkataba wa Electronic Ticketing mara moja until further notes! haya
patrick kahemele endelea kutokwa mapovu kuwapigia simu wajumbe wa kamati
ya utendaji pamoja na Raisi wa TFF kama ilivyo kawaida yako watengue
maamuzi....Narudia tena NO RESEARCH NO RIGHT TO COMMENT!
Saturday, February 1, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment