JE,MWAMUZI ALIKUWA SAHIHI KUIPA PENATI MAN CITY PAMOJA NA KUMPA KADI NYEKUNDU BEKI DANNY ROSE?
Kwenye mchezo huo mwamuzi huyo
aliipa Man City penati ambayo haikustahili kutokana na beki wa Spurs Danny Rose
kuucheza mpira kwanza kabla ya mshambuliaji Edin Dzeko hajaanguka chini.
Maamuzi hayo yalipelekea beki huyo
kupewa kadi nyekundu ikiwa ni pamoja na adhabu ya penati ilikwamishwa wavuni na
Yaya Toure.

0 comments:
Post a Comment