HUKU
mwenyewe akikanusha vikali kwamba hatumii, nyota wa muziki wa Injili
Bongo, Rose Muhando bado anaandamwa na madai mazito kwamba anatumia
madawa ya kulevya ‘unga’ yanayomfanya kuwa hoi kiasi cha kushindwa
kutokea kwenye matamasha mbalimbali anayolipwa fedha, Risasi Jumatano
linateremka nayo.